Download as pdf or txt
Download as pdf or txt
You are on page 1of 2

MWANACHAMA Kubuni, kuboresha, kutoa huduma na

Mwanachama wa Hazina SACCOS Ltd ni mtu Bidhaa Bora kwa wanachama.


anayechangia Akiba kila mwezi katika chama hiki.
Je, mtu yeyote anaweza kuwa mwanachama wa Haki na usawa katika kuwa-
HAZINA SACCOS LTD? hudumia wanachama.
HAPANA ila ni mtu yeyote ambaye ni mtumishi wa
wizara ya fedha na mipango na taasisi zake. Kupiga vita rushwa kwa
nguvu zote.
JINSI YA KUJIUNGA NA HAZINA SACCOS LTD:
Kujaza fomu ya kujiungaa inayopatikana ofisi za Kushiriki kikamilifu
HAZINA SACCOS LTD au kwenye tovuti iya Chama. katika shughuli za
kijamii.
Kulipa Ada ya kiingilio Tsh 50,000/=
Kuendesha Saccos
Kulipa angalau Hisa 25@ 20,000/= kwa misingi ya Uwazi
na uwajibikaji.
HUDUMA ZA KIFEDHA CHAMA CHA USHIRIKA
Mwanachama anaruhusiwa kuweka Akiba (savings) Kuheshimu Usawa
au kulipa deni la Hazina SACCOS Ltd kupitia Benki. wa jinsia katika Uon- WA AKIBA NA MIKOPO
Malipo yoyote yanayofanyika kwa mwanachama
huwa ni kwa njia ya Hundi.Au kwenye akaunti yake.
gozi wa Saccos.
(HAZINA)
Wadau:
Jina la Akaunti :Hazina Savings and Credit Society Wizara mbalimbali Tanzania Bara
Ltd, Akaunti namba: 0150237286200 Benki ya Taasisi za fedha na DCB)
CRDB, Tawi la Holland. 20106600494 Benki ya Mrajisi wa vyama vya Ushirika.
NMB, Tawi la Bank House. SCCULT (1992) LTD
TRA
UKOMO WA UANACHAMA NSSF **Huduma Bora Kwa Wakati Na Riba Nafuu**
Kuhamia Sekta au makampuni binafsi. NHIF
Kuacha/kufukuzwa kazi Serikalini /Taasisi. WCF

KANUNI YA KUTAFUTA RIBA KWA MAWASILIANO NA MAELEZO ZAIDI, HAZINA SAVINGS


AND CREDIT
RIBA =(P (N+1)r)/200 TAFADHALI WASILIANA NASI
KUPITIA ANWANI IFUATAVYO:
KIELELEZO:
P- MKOPO
MWENYEKITI,
HAZINA SACCOS LTD, S. L. P 9111, SOCIETY LIMITED
N- MUDA WA KUREJESHA MKOPO DAR ES SALAAM.
R-RATES (0.84% Au 1.5%)
Tel: 0222126431, +255 710 933 944 au
+255 710 606 605
MAADILI YA HAZINA SACCOS Website: www.hazinasaccos.org
Uadilifu na Uaminifu Hazinasaccos_tz Hazina saccostz
Kutoa Huduma nzuri na zenye ubora kwa Hazinasaccostz info@hazinasaccos.org REG: DRS No.1822
wanachama. hazinasaccos23@ gmail.com www.hazinasaccos.org
Umoja na Ushirikiano.
Huduma zitolewazo:
HAZINA SACCOS NI NINl? Mkopo wa Elimu
1. Upokeaji na Utunzaji Akiba na Hisa
Ni Ushirika wa Akiba na Mikopo kwa ajili ya kuinua Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh 5,000,000
kustawisha na kuboresha hali za Wanachama Utunzaji wa Akiba na kutoza riba ya 0.42% Muda wa kurejesha
wake. Chama hupokea na kutunza Akiba za wanachama mkopo ni miezi 24. Fomu hupokelewa kuanzia
kupitia makato kwenye mshahara ,au mwanachama Tarehe 1-20 ya kila mwezi.
Historia anaweza kulipia bank kiasi chochote Zaidi ya makato
Ushirika huu ulianzishwa mwaka 1972 ikiwa na anayokatwa katika mshahara wake, aidha chama
wanachama 100 na kusajiliwa rasmi tarehe Mkopo wa Mazishi
21.03.1973 ikiwa na wanachama 250. kinalipa 1%-5% ya Akiba za mwanachama alizow- Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh. 3,000,000
eka kwa mwaka. na kutoza riba ya 0.42%% muda wa kurejesha ni
Dira Utunzaji wa Hisa miezi 24, mkopo huu hutolewa pale mwanachama
Kuwezesha na kuboresha Ushirika wa Akiba na anapokuwa amefiwa Baba, Mama, Mtoto, Mume
Mikopo ambao utatoa huduma za kifedha ili kukidhi Chama hupokea hisa za msingi na hisa za hiari.
matarajio ya wanachama. Mwanachama anaruhusiwa kupunguza au au Mke.
kuhamisha hisa za hiari.
Dhamira. Mkopo wa Sikukuuu
Kuwa na Ushirika wa fedha wenye nguvu kwa Hazina Saccos inatoa mikopo ya aina mbalimbali. Kiwango cha juu cha mkopo huu ni 500,000/= na
kukidhi mahitaji ya wanachama kwa huduma na Mkopo wa Dharura. kutoza riba ya 0.84%. Muda wa juu wa kureje-
mazao.
Mkopo wa Dharura 2. sha mkopo huu ni miezi 6 Hutolewa kwa sikukuu
KWANINI NIJIUNGE HAZINA SACCOS? Mkopo wa Tulizamoyo. za krismasi, Pasaka na Idd El-fitri.
HAZINA SACCOS inatoa huduma bora kwa Mkopo wa Elimu.
wakati na riba nafuu. Mkopo wa mazishi. Mkopo wa Maendeleo
Mkopo wa sikukuu Kiwango cha juu cha mkopo huu ni mara tatu (3)
Hazina SACCOS ni chama imara ambacho ya Akiba na kutoza riba ya 0.84%. Muda wa
kimekaguliwa na Shirika la Ukaguzi (COASCO) Mkopo wa maendeleo.
na kupata Hati inayoridhisha kwa miaka mitano Mkopo wa biashara. kurejesha ni miezi 12 - 60 Hutolewa mwishoni
mfululizo. Mkopo wa ujenzi mwa mwezi na fomu hupokelewa kuanzia tarehe
Mkopo wa standing order 1-20 ya kila mwezi.
Hazina SACCOS hutoa huduma bora kwa wakati Mkopo wa Viwanja.
kama.
Mkopo wa dharura Mkopo wa Biashara
Mikopo ya Dharura. Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh 5,000,000/= Kiwango cha juu ni mara tatu (3) ya Akiba na kuto
na kutoza riba ya 1.5% kwa mwezi. Muda wa juu za riba ya 0.84%.kwa mwezi Muda wa marejesho
Mikopo ya kulipia Ada kwa mwanachama,mtoto ni miezi 12-60. Fomu huanza kupokelewa kuanz-
au tegemezi yeyote anayemuhusu mwanachama. wa marejesho ni miezi 12, mkopo huu unatolewa
ndani ya masaa 24 baada ya kukamilisha taratibu za ia tarehe 1-20 ya kila mwezi.
Mikopo ya kufanyia Maendeleo ya Biashara au maombi.
Ujenzi. Mkopo wa Ujenzi
Mkopo wa dharura 2
Kiwango cha juu ni mara 3 ya akiba na riba
Kukopa kwa ajili ya huduma za misiba kwa wale Kiwango cha juu cha mkopo huu ni Tsh 10,000,000/=
ya 0.84% Muda wa marejesho ni miezi 12-60 fomu
wanaowahusu wanachama wa hazina Saccos. na kutoza riba ya 1.5% kwa mwezi. Muda wa juu
hupokelewa kuanzia tarehe 1-20 ya kila mwezi.
wa marejesho ni miezi 24, mkopo huu unatolewa
Mikopo ya viwanja. ndani ya siku 7 baada ya kukamilisha taratibu za
Mkopo wa utaratibu wa Bank (Standing Order)
maombi.
Inalipa riba kwenye Akiba za wanachama. Kiwango cha juu ni Tsh 20,000,000.00 na kutoza
Mkopo wa Tulizamoyo riba ya 1.5% muda wa kurejesha ni miezi 36 fomu
Inatoa gawio kwa wanachama baada ya Kiwango cha mkopo huu ni kuanziaTsh 300,000/= hadi hupokelewa kuanzia tarehe 1-20 ya kila mwezi.
kupitishwa na Mkutano Mkuu Tshs 1,000,000/=. Bila Riba
Inatoa Elimu ya Uhirika kwa wanachama wake Ghalama za kuchakata mkopo ni 5% za kiwango cha Mkopo wa Viwanja
mkopo. Hutegemea na taratibu zitakazowekwa na chama
kwa wakati huo.

You might also like