Professional Documents
Culture Documents
MWANANGU levina
MWANANGU levina
MWANANGU
TIMOTHEO
YALIYOMO
YALIYOMO……………………………….………………...…..….3
TABARUKU……………………….. ……………………….………4
LENGO LA KITABU………………………....….….…...…...…5
MFAHAMU TIMOTHEO.....................................……7
KWANINI UWE MWANA KAMA TIMOTHEO ?.......28
GHARAMA YA KULELEWA KIROHO….……………..….42
HEKIMA YA KUISHI NA MTUMISHI WA MUNGU...47
NAMNA YA KUPATA UPAKO……………………….....….61
KUHUSU MWANDISHI……………………..…………........72
TABARUKU
SURA YA KWANZA
MFAHAMU TIMOTHEO
Ezekieli 22:30-31
1 Wakorintho 4:17
SURA YA PILI
KWANINI UWE MWANA KAMA TIMOTHEO?
Kupitia kuwa mwana Timotheo anapata vitu
vilivyomsaidia kufikia na kulitimiza kusudi lake Hapa
Duniani kama tujuavyo kuwa huyu Timotheo ndiye
baadae alikuja kuwa Askofu Mkuu wa KANISA LA
EFESO,hivyo basi tunashawishika kabisa kuwa
Timotheo alipata vitu sahihi wakati akiwa chini ya
mtume Paulo na vifuatavyo ni baadhi ya vitu
alivyovipata huyu Timotheo;
1. Timotheo alipewa kanuni za kufanikiwa katika
Huduma na maisha kiujumla na Mtu
aliyemtangulia ambaye ni Mtume Paulo.
Wazee au WATU Waliokutangulia wao wanaona
mambo ya Leo yajayo lakini pia
kinachowaongezea thamani zaidi wao
wamejifunza kutokana na mambo yaliyopita
hivyo wao Wanamuono wa mambo
yaliyopita,yasasa na yajayo tofauti na vijana sisi
tunaona Sasa na tunapoelekea mtumishi mmoja
akasema mzee mmoja ni sawa na maktaba
nyingi zilizobeba maarifa hivyo Wao wanajua
By Brother Paulo Evarist Koba 28
MWANANGU TIMOTHEO
1 Timotheo 4:6,13,15
[6]Uwakumbushe ndugu mambo hayo, nawe
utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, na
mzoevu wa maneno ya imani, na mafundisho
mazuri yale uliyoyafuata.
[13]Hata nitakapokuja, ufanye bidii katika
kusoma na kuonya na kufundisha.
[15]Uyatafakari hayo; ukae katika hayo; ili
kuendelea kwako kuwe dhahiri kwa watu wote.
1 Timotheo 6:11
[11]Bali wewe, mtu wa Mungu, uyakimbie
mambo hayo; ukafuate haki, utauwa, imani,
upendo, saburi, upole.
1 Timotheo 3:1-13
[1]Ni neno la kuaminiwa; mtu akitaka kazi ya
askofu,atamani kazi njema. [2]Basi imempasa
askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke
mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu,
mkaribishaji, ajuaye kufundisha; [3]si mtu wa
kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si
mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda
fedha; [4]mwenye kuisimamia nyumba yake vema,
ajuaye kutiisha watoto katika ustahivu; [5](yaani,
mtu asiyejua kuisimamia nyumba yake mwenyewe,
atalitunzaje Kanisa la Mungu?) [6]Wala asiwe mtu
1 Timotheo 5:1-6
[1]Mzee usimkemee, bali umwonye kama baba; na
vijana kama ndugu; [2]wanawake wazee kama
mama; wanawake vijana kama ndugu wa kike;
katika usafi wote. [3]Uwaheshimu wajane walio
1 Timotheo 4:11,16
[11]Mambo hayo uyaagize na kuyafundisha.
[16]Jitunze nafsi yako, na mafundisho yako. Dumu
katika mambo hayo; maana kwa kufanya hivyo
utajiokoa nafsi yako na wale wakusikiao pia.
1 Timotheo 6:2
[2]Na wale walio na bwana waaminio
wasiwadharau kwa kuwa ni ndugu; bali afadhali
wawatumikie, kwa sababu hao waishirikio faida ya
kazi yao wamekuwa wenye imani na kupendwa.
Mambo hayo uyafundishe na kuonya.
2 Timotheo 2:2,14-15
[2]Na mambo yale uliyoyasikia kwangu mbele ya
mashahidi wengi, hayo uwakabidhi watu waaminifu
watakaofaa kuwafundisha na wengine.
[14]Uwakumbushe mambo hayo, ukiwaonya
machoni pa Mungu, wasiwe na mashindano ya
maneno, ambayo hayana faida, bali huwaharibu
wasikiao.
[15]Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na
Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari,
ukitumia kwa halali neno la kweli.
2 Timotheo 3:10,14
[10]Bali wewe umeyafuata mafundisho yangu, na
mwenendo wangu, na makusudi yangu, na imani,
na uvumilivu,
[14]Bali wewe ukae katika mambo yale
uliyofundishwa na kuhakikishwa, kwa maana unajua
ni akina nani ambao ulijifunza kwao;
(1Wakorintho 4:15-16).
SURA YA TATU
Yoshua 1:1
[1]Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa
BWANA, BWANA akamwambia Yoshua, mwana wa
Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,
Yohana 5:19,30
[19]Mwana hawezi kutenda neno mwenyewe ila lile
ambalo amwona Baba analitenda; kwa maana yote
ayatendayo yeye, ndiyo ayatendayo Mwana vile
vile.
1 Samuel 17:55-56,58
[55]Basi Sauli, hapo alipomwona Daudi akitoka ili
kumwendea yule Mfilisti, alimwambia Abneri,
jemadari wa jeshi, Je! Abneri, kijana huyu ni mwana
wa nani? Abneri akamjibu, Ee mfalme, kama
iishivyo roho yako, mimi siwezi kusema.
SURA YA NNE
Mathayo 3:15
[15]Yesu akajibu akamwambia, Kubali hivi sasa; kwa
kuwa ndivyo itupasavyo kuitimiza haki yote.
Mithali 23:10a
[10]Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani;
Eneo la Mawasiliano.
1 Samwel 9:7-8
[7]Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake, Lakini
angalia, kama tukienda, tumpelekee mtu huyo kitu
gani? Maana chakula kimekwisha vyomboni mwetu,
wala hapana zawadi ya kumpelekea mtu wa Mungu;
tuna nini sisi?
2 Samwel 15:4
[4]Tena Absalomu husema, Laiti mimi ningewekwa
kuwa mwamuzi katika nchi hii, ili kila mtu mwenye
neno au daawa aje kwangu, nimpatie haki yake!
2 Samwel 15:2-3
[2]Tena Absalomu huondoka asubuhi na mapema,
na kusimama kando ya njia ya lango; kisha ikawa,
mtu ye yote aliyekuwa na neno, lililokuwa halina
budi kufika kwa mfalme ili kuhukumiwa, Absalomu
humwita mtu huyo kwake, na kumwuliza, Wewe u
mtu wa mji gani? Naye akasema, Mtumwa wako ni
mtu wa kabila fulani ya Israeli.
[3]Naye Absalomu humwambia, Tazama, maneno
yako ni mema yenye haki; lakini hapana mtu
aliyeagizwa na mfalme kukusikiliza.
2 Samuel 18:5,14
[5]Mfalme akawaamuru Yoabu na Abishai na Itai,
akasema, Mtendeeni yule kijana, Absalomu, kwa
upole kwa ajili yangu. Nao watu wote wakasikia,
mfalme alipowaagiza maakida wote katika habari za
Absalomu.
[14]Ndipo Yoabu akasema, Siwezi kungoja na
kusema nawe hivi. Akachukua vyemba vitatu
mkononi mwake, akamchoma Absalomu moyoni,
alipokuwa akali hai katikati ya ule mwaloni.
Yoshua 1:1
[1]Ikawa baada ya kufa kwake Musa, mtumishi wa
BWANA, BWANA akamwambia Yoshua, mwana wa
Nuni, mtumishi wa Musa, akasema,
SURA YA TANO
NAMNA YA KUPATA UPAKO
Vijana Wengi tumekua tukifunga na kuomba Bila
mafanikio Ili kupata upako utakaotusaidia katika
Maisha ya Kusudi tulilolibeba.
Yoshua na Musa
Musa na mzee yethro
Yohana 6:63
Roho ndiyo itiayo uzima, mwili haufai kitu; maneno
hayo niliyowaambia ni roho, tena ni uzima.
Ezekiel 2:2
Mathayo 10:41
Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata
thawabu ya nabii; naye ampokeaye mwenye haki
kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya
mwenye haki.
Mathayo 26:73
Punde kidogo, wale waliohudhuria wakamwendea,
wakamwambia Petro, Hakika wewe nawe u mmoja
wao; kwa sababu hata usemi wako
wakutambulisha.
2 Wafalme 2:14-15
[14]Akalitwaa lile vazi la Eliya lililomwangukia,
akayapiga maji, akasema, Yuko wapi BWANA,
Mungu wa Eliya? Naye alipoyapiga maji,
yakagawanyika huku na huku, Elisha akavuka.
[15]Na hao wana wa manabii, waliokuwako Yeriko
wakimkabili, walipomwona, walisema, Roho ya Eliya
inakaa juu ya Elisha. Wakaja kuonana naye,
wakainama kifudifudi mbele yake.
Luka 1:17,80
[17]Naye atatangulia mbele zake katika roho ya
Eliya, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya baba
iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye
haki, na kumwekea Bwana tayari watu
waliotengenezwa.
[80]Yule mtoto akakua, akaongezeka nguvu rohoni,
akakaa majangwani hata siku ya kutokea kwake kwa
Israeli.
Mathayo 3:4
[4]Naye Yohana mwenyewe alikuwa na vazi lake la
singa za ngamia, na mshipi wa ngozi kiunoni
mwake; na chakula chake kilikuwa nzige na asali ya
mwitu.
Luka 9:18-19
[18]Ikawa alipokuwa akisali kwa faragha, wanafunzi
wake walikuwapo pamoja naye, akawauliza, Je!
Makutano hao wanasema ya kuwa mimi ni nani?
[19]Wakamjibu wakisema, Yohana Mbatizaji; lakini
wengine, Eliya; na wengine kwamba mmojawapo
wa manabii wa kale amefufuka.
Watu walisema Yesu amefanana na Elia na kina
Yohana mbatizaji na hata manabii wa zamani kwa
sababu waliona madhihirisho ambayo yalikua kwa
hao watu yanapatikana kwa Yesu yaani waliona
neema za watu hao zikiwa kwa Yesu lakini ni kweli
kuwa hizo upako zilikua kwa Yesu lakini hizo upako
kwa pamoja ndo ziliunda utendaji wa Yesu na
madhihirisho yake ndio maana Petro akafunuliwa
kuwa huyu ni Mwana wa Mungu aliye hai aleluya!
Kupiga & meseji: +255 783 428 460, +255 673 428 461
Instagram: paulo_evarist_koba12348
KUHUSU MWANDISHI
Naitwa Paulo Evarist Koba nimeokoka na nampenda sana YESU,
Muhitimu wa ngazi ya astashahada pale kwenye chuo cha
ufundi cha DIT.
Niliokoka Mwaka 2014 nikiwa kidato cha tatu huko shuleni
nilipokua nasoma elimu ya sekondari, tangu hapo Maisha
yangu yamebadilika kabisa.
Ninaabudu kanisa la Gilgal Revival Church pia ni mtoto wa
kiroho wa mchungaji Paulo Israel Shaban.
Haya maarifa nimejifunza Kupitia kwa Baba yangu wa kiroho
Askofu Paul Israel Shaban na watu kama Bishop Kabigumila, na
mchungaji Peter Mahenge, na Mwl Christopher Mwakasege.
Kama umeguswa na huduma hii na una ushuhuda kuhusu hiki
kitabu basi karibu kwa namba za hapo chini pia unaweza kutoa
sadaka Yako Ili kutoa sapoti karibu kwa mawasiliano ya hapo
chini pia kwa ushauri na msaada wa kiroho karibu sana kupitia
Email ifuatayo paulokoba395@gmail.com na mawasiliano ya
0783428460 au mitandao ya kijamii nitafute kama Evarist
Koba.