Professional Documents
Culture Documents
GRREAT Programme Brief (Swahili)
GRREAT Programme Brief (Swahili)
GRREAT Programme Brief (Swahili)
OJA W
M
PA
EZ
ESHE WAS
IC
HA
NA
Nadharia ya Mabadiliko
Wasichana balehe walio hatarini zaidi na wanaoishi katika mazingira magumu zaidi nchini Tanzania wawe na afya njema, wenye
lishe sahihi, wanaolindwa, walioelimishwa na kuwezeshwa na kufurahia haki zao kadiri wanavyokua kuingia kwenye utu uzima
Mifumo na huduma (hasa katika Tabia za wasichana na wavulana Sera na utengaji fedha
ngazi za taasisi, jamii na shule) ili balehe na wengineo, kama vile (katika ngazi kuu na za
kutatua masuala yanayohusu wazazi, wanarika na wanajamii uraghabishi) ili kuwanufaisha
ujinsi, afya ya uzazi na haki za hasa wasichana balehe
wasichana balehe
TUWA
OJA W
M
PA
EZ
Matokeo Yanayokusudiwa
ESHE WAS
Vipengele vya programu & mantiki ya afua (mpango/mradi) hii IC
HA
NA
Kundi linalolengwa katika jamii:
Kuna mkazo mkubwa wa kiprogramu katika kutatua na kuimarisha masuala ya usambazaji na uhitaji wa huduma na upatikanaji na
utumiaji wa huduma za ujinsia na afya ya uzazi na haki za vijana balehe (ASRHR) katika namna zinazotoa mwitikio wa moja kwa Wasichana na wavulana balehe Wasichana na wavulana balehe Wasichana balehe
moja kwa mahitaji ya wasichana balehe. Programu hii inasaidia mifumo ya serikali katika ngazi zote (taifa, mikoa na wilaya), wanaofikiwa na taarifa zinazohusu waliofikiwa na huduma za ASRHR wanaojishughulisha na fursa hizi
kuimarisha uwezo wa kitaifa wa kukusanya, kuchambua na kutumia takwimu zilizoimarishwa za ASRHR, lishe na maeneo ASRHR na lishe: na lishe: kufanya majaribio na kuandaa
yanayohusiana. Suala mtambuka katika nguzo zote tatu kuu za programu – kuimarisha mifumo, kuzalisha uhitaji wa ASRHR na Watoa elimu rika 3,350 Vijana balehe Katika jamii: 180,000 ufumbuzi wa teknolojia ya kisasa na
huduma za lishe na utoaji ushahidi wa uzalishaji kwa ajili ya kupata fedha, kutunga sera na kuleta uwajibikaji, kutakuwa na mkazo 200,000 (kupitia elimu na mwongozo Katika vituo vya afya: 50,000 usio wa kiteknolojia dhidi ya
katika kuelewa na kutatua kaida za kijamii na kiutamaduni na tabia zinazosababisha vikwazo katika kupaaza sauti, uchukuaji hatua katika kundi rika) Vijana balehe changamoto za SRHR na lishe:
Mashuleni: 60,000 10,500
binafsi, na upatikanaji wa haki za wasichana balehe kupitia shughuli za kiubunifu zinazolenga mawasiliano kuhusu jamii na 85,500 (kupitia vilabu na kampeni za
mabadiliko ya tabia pamoja na uwezeshaji. redioni)
Katika kipindi chote cha utekelezaji wa programu hii, mkakati mkuu ni nafasi ya wasichana balehe kama wakala wa mabadiliko.
Programu hii inalenga kuimarisha uwezo wa wasichana balahe kupaaza sauti ili kutoa maoni yao kuhusu matatizo wanayokabiliana
nayo na vilevile kutoa fursa za kutengeneza na kutekeleza ufumbuzi wao wenyewe wa kiubunifu utakaotatua masuala
yanayowahusu kuhusiana na ASRHR. Wanaume na wavulana watakaoshiriki katika programu hii wanaaswa kuwa mfano katika
kuheshimu na kuhamasisha haki za wanawake na wasichana.
Kuimarisha usambazaji na uhitaji wa huduma zinazozingatia Kuimarisha msingi wa ushahidi ili kuleta
MATOKEO YA KIPINDI CHA KATI
jinsia za utoaji na matumizi ya ASRHR mipango na utekelezaji wenye ufanisi zaidi Eneo la kijiografia: Washirika:
katika masuala ya ASRHR
Kuimarika kwa Upatikanaji Kuongezeka kwa Kuongezeka kwa Kuongezeka kwa upatikanaji
ujuzi miongoni mkubwa zaidi wa maarifa na ujuzi ushiriki na wa ushahidi wa kiutafiti
mwa watoa mahitaji kuhusu ujinsi na ubunifu kuhusu ufumbuzi kamili
huduma kamili yanayokidhi kwa afya ya uzazi na unaofanywa na unaozingatia mahitaji ya
za ujinsia, afya vijana balehe lishe miongoni wasichana na vijana balehe ya ujinsi na afya
ya uzazi na lishe katika huduma mwa wasichana wavulana balehe ya uzazi na lishe kwa ajili ya
kwa vijana za ujinsi, afya ya na wavulana katika programu uandaaji sera, kuhamasisha Muda wa utekelezaji: Mawasiliano:
balehe uzazi na lishe bahele za ujinsi, afya ya upatikanaji wa fedha kutoka
uzazi na lishe vyanzo vya ndani na kuleta
uwajibikaji katika ngazi za 1 Aprili 2019 hadi daressalaam@unicef.org
kitaifa na mikoa 31 Machi 2024
Hali ya Vijana Balehe Nchini Tanzania
Maisha yanabadilika kwa takribani wasichana na wavulana balehe1 milioni 13.2 wanaoishi nchini Tanzania –
huku sehemu kubwa ikiwa ni mabadiliko mazuri – lakini bado kuna matatizo mengi, hasa yanayowakabili
wasichana balehe wanaoishi katika mazingira magumu zaidi.
5.2% 30.5%
waliolewa waliolewa
23% TDHS 2010 wakiwa na wakiwa na 116 132
umri wa miaka 18 TDHS 2010 TDHS 2015/16
miaka 15
27% TDHS 2015/16
Wakati ambapo kuenea kwa VVU kwa ujumla kumepungua Eneo lingine linalofikirisha ni kuenea kwa
nchini Tanzania, kuenea kwa VVU miongoni mwa vijana vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake na
balehe bado hakujapungua. wasichana nchini Tanzania.
Mwaka 20184 : Uelewa mpana kuhusu VVU miongoni Miongoni mwa wasichana balehe wa umri
mwa vijana wa umri wa miaka 15–19 kati ya miaka 15–196:
Vijana balehe uko chini 5
93,000 walikuwa
wakiishi na VVU 22% 11%
36.8% 41.9% wamepitia ukatili wamewahi
zaidi ya vijana balehe Wasichana Wavulana
wa kimwili tangu kufanyiwa
wapya 11,000 wakiwa na umri ukatili wa
waliambukizwa VVU wa miaka 15 kingono
Mzunguko wa hedhi huchukuliwa Upungufu wa damu na ukosefu wa lishe Matokeo duni katika elimu kwa
kama mwiko nchini Tanzania. sahihi vinatishia kuwa sababu kuu za wasichana husababisha
kutokuwepo kwa maendeleo jumla kwa gharama za kijamii na
Mazingira duni ya afya na usafi
wasichana balehe. kiuchumi kwao wenyewe na
wakati wa hedhi mashuleni:
kwa jamii.
Kuongezeka kwa
upungufu wa damu 42% TDHS 2010 Viwango vya ufaulu katika
Huwatia Huchangia Husababisha miongoni mwa Mitihani ya Kuhitimu Elimu ya
wasiwasi na katika utoro mafanikio wasichana balehe Msingi (Bara)9:
kuwadhalilisha wa kila duni darasani/ kati ya miaka 15–19: 47% TDHS 2015/16
wasichana mwezi shuleni
balehe Uwiano wa kimo na uzito (BMI) chini ya 18.5 70.9%
17% (wembamba uliopitiliza) kwa wasichana Wasichana
ya wasichana hukosa shule balehe wa umri kati ya miaka 15–198:
kwa sababu zinazohusiana Hakuna
na mzunguko wa hedhi mabadiliko
(maumivu, woga, kukosa 18% TDHS 2010
katika 74.8%
taulo za kike na kutokuwepo Wavulana
kwa mazingira rafiki ya usafi 18%
na maji shuleni)7 18% TDHS 2015/16
1 4 7
Tanzania NBS 2018 population projection for UNAIDS HIV Estimates 2019 (Makadirio ya NIMR, 2020, Menstrual Hygiene Management Situation among schoolgirls in Tanzania
2020 (Makadirio ya idadi ya watu kwa mwaka VVU kwa 2019) (Huduma Wakati wa Mzunguko wa Hedhi kwa Wasichana Walio Mashuleni nchini Tanzania)
5 8
2020 ya NBS Tanzania). HIV/AIDS and Malaria Indicator Survey, TDHS 2015/16
2 9
Girls Not Brides, 2017 (Ni Wasichana, Si 2011–2012, pg96 (Utafiti wa Viashiria vya Basic Education Statistics of Tanzania (BEST) 2018 (Takwimu za Msingi za Elimu nchini
Wachumba) VVU/UKIMWI, 2011–2012, uk. 96 Tanzania)
3 6
TDHS 2015/16 TDHS 2015/16