Taarifa Ya Mwezi September 2023

You might also like

Download as docx, pdf, or txt
Download as docx, pdf, or txt
You are on page 1of 5

SEPTEMBER CASH FLOW

DETAILS AMOUNT IN AMOUNT OUT BALANCE


OPENING BALL
782,520
CREDIT PAID
21,721,900
BANK 130,000
60,000
HQ (ILEJE) 8,160,000
TRANSACTIONS 7,800,000
BRANCHES 110,000
TRANSACTION 550,000
LOAN 20,694,200
POSHO YA 240,000
KUONGOZA
SALARY- SEPTEMBER 730,000
MEALS ALLOWANCE 135,000
PETY CASH 173,500
TOTAL & Tshs. 30,131,900/= Tsh. 30,372,700/= Tshs. 541,720/=
BALANCE
TAARIFA YA MWEZI SEPTEMBER 2023

TOTAL PROFIT MADE BEFORE AND AFTER EXPENDITURES

PROFIT

Tshs. 6,206,273/= before expenditures

Tshs. 5,167,773/= after expenditures


MAELEZO & MCHANGANUO:
Jumla ya makusanyo yote ya mwezi september ni kiasi cha Tzs. 21,721,900/= ambapo
tunategemea kuongeza mapato kwa mwezi ujao
Kiasi tulichoanza nacho (Opening balance), kilikua Tzs. 782,520 /= lakini pia kwa mwezi huu
tulipewa nyongeza ya kiasi cha Tzs. 7,800,000 /= kutoka makao makuu (BANK) ambayo tuliingiza
katika mikopo iliyotolewa ndani ya mwezi huu.
Hivyo basi kutokana na makusanyo yote ya mwezi september, tumeweza kurejesha makao makuu
kiasi cha jumla ya Tzs. 8,160,000 /= ambapo ukitoa na kiasi kile tulichopatiwa ndani ya mwezi huu,
hivyo basi tunakua tumefanikiwa kuongeza kiasi cha Tzs. 360,000/=
Jumla ya mikopo iliyotolewa september, ni Tzs. 20,694,200/=
Mishahara imelipwa kwa jumla ya kiasi cha Tzs. 730,000/= kwa wafanyakazi watatu (3) tu.
Kiasi cha Tzs. 135,000/= kimetumika kama posho ya chakula kwa mwezi september, kwa idadi ya
wafanyakazi watatu (3).
Matumizi mengineyo ni Tzs. 173,500 /= ambapo matumizi kwa upande wa vocha kwa upande wa
bando la internet ni Tzs. 20,000/=, upande wa dakika ni Tzs. 5,000/=, bills mbalimbali kama vile
(umeme, mafuta na tissue), stationary na service ya pikipiki Tzs. 148,000/=

KUHUSU FAIDA ILIYOPATIKANA.


Jumla ya faida iliyopatikana ni kiasi cha Tshs. 6,206,273/=, na hii ni kabla ya matumizi yote
yaani kabla ya kutoa mishahara, posho ya chakula na matumizi mengineyo, ambapo kiasi chake
jumla ni Tzs. 1,038,500/=

Baada ya matumizi, faida iliyopatikana ni Tzs. 5,167,773/= hii imepatikana baada ya kutoa
matumizi yote yaan mishahara, posho ya chakula na matumizi mengineyo.

KUHUSU WATEJA WAPYA.


Idadi ya wateja wapya ambao tumefanikiwa kuwaongeza kwa mwezi September ni tisa (9), ambao ni
Pamoja na;
1) ALLY MASHAKA WAMBA; ambaye alisajiliwa tarehe 2, September na kuchukua mkopo wa
Tzs. 300,000/= kwa mwezi mmoja, hivyo basi mpaka sasa tunaendelea nae vizuri.
2) MPOKI STAFORD; ambaye alisajiliwa tarehe 28, September, mbaye alichukua kiasi cha Tzs.
650,000/= anaanza kulipa mwezi huu
3) DOROTH KAHEMELE; ambaye alisajiliwa tarehe 12, September, ambaye alichukua kiasi cha
Tzs. 300,000/= kwa muda wa miezi 5 na tayari ameanza kufanya malipo ya kiasi cha Tzs. 84,000/=
kwa kila mwezi
4) CATHELIN CHISUNGA; ambaye alisajiliwa tarehe 18, September, ni mjasiliamali na tayari
anaendelea na malipo
5) REGINA KILONGO; ambaye alisajiliwa tarehe 01, September na tayari ameshaanza kufanya
malipo ya kila mwezi, alichukua kiasi cha Tzs. 1,000,000/=

MADENI SUGU YALIYOKUSANYWA


Jumla ya kiasi cha Tzs. 246,500/= ambacho kilikusanywa kutoka kwa wateja
wafuatavyo kama ilivyoainishwa hapa chini;
 Fadhili kayuni Tzs. 2,500/=, ni deni la mwaka 2021
 Jois mwampashi Tzs. 10,000/=; ni deni la 2021
 Agusta komba Tzs.20,000/=; ni deni la mwaka 2021
 Hamala mbwiga Tzs.20,000/=; ni deni la mwaka 2021
 Rajab khamis bofu Tzs.24,000/=; ni deni la mwaka 2022
 Getrude mkandawile Tzs.20,000/=; ni deni la mwaka 2021
 Lucia kibona Tzs.30,000/=; ni deni la mwaka 2020
 Goderiva Rafael Tzs.50,000/=; ni deni la mwaka 2022
 Frola frank Tzs.20,000/=; ni deni la mwaka 2022
 Sikudhan sasawata Tzs.10,000/=; ni deni la mwaka 2021
 Newton haonga Tzs.40,000/= ; ni deni la mwaka 2022
NYONGEZA
Tunafurahi kuona pia tumekua tukiongeza mapato na kuweka msawazo katika mapato
tunayoyakusanya kila siku, hivyo basi tunaendelea kuhakikisha kuwa tunabaki kushika nafasi ya
kwanza katika ukusanyaji mapato endapo hakuna changamoto yoyote tuliyoipitia

CHANGAMOTO
I. Moja ya changamoto ambayo tumeipata kwa mwezi huu ni kwa baadhi ya wteja wetu
kutolipa kwa wakati kiasi husika cha rejesho nah ii ni kutokana na sababu mbalimbali kama
vile ucheleweshwaji wa pensheni kwa wastaafu, pili baadhi ya wateja kutolipa kwa makusudi
kama vile kuvuta kutoka katika akaunti zao kwa kutumia simbanking.
II. Pili tatizo la komputa limekua likituchelewesha kumaliza baadhi ya kazi kwa wakati, mfano
uwepo wa komputa moja nayo ikawa na tatizo la kuharibika kwa kioo (display)

DIRA/MAONO

A. Dira kubwa iliyowekwa katika kukuza mapato ndani ya ofiisi ya mbozi ni Pamoja na kufanya
kazi kubwa katiaka kukusanya madeni sugu angalua kwa asilimia 80 kwa mwezi wa kumi
ukilinganishwa na mwezi uliopita.
B. Pili kuhakikisha mapato yanapanda Zaidi kutoka kwenye kiasi cha sasa mpaka kufikia kiasi cha
mil. 24 au zaid kwa mwezi ujao wa kumi.
C. Kuhakikisha tunaongeza wateja wengi wapya Zaidi ndani ya huu mwezi wa kumi ili kutimiza
lengo la kuongeza kipato Zaidi.

MAPENDEKEZO

Kwanza kabisa ningeomba utusaidie computer moja na monitor moja kwasababu kwa tuliyonayo ina
shida

Pili tunaomba msaada wa meza mpya moja sababu hii tuliyonayo ni mbovu inaweza kuanguka muda
wowote

Tatu nah ii ni kutoka kwa baadhi ya wateja wetu, Naomba tuzidi kuangalia mifumo mizuri Zaidi ya
ukopeshaji kwa ofisi zote katika za Goldgiver ili tuweze kulinda wateja wetu hasa kwa wale ambao
ni wazuri na wanatamani kubaki katika ofisi zetu lakini kwa namna moja ama nyingine wamekua
wakihamia katika ofisi zenye riba ndogo kutokana na kupunguza riba.

Baadhi yao (wateja wetu) walishauri kama ifuatavyo;

a) tuongeze miezi mpaka nane,


b) wengine walishauri ikiwa ni miezi mitatu basi tufanye asilimia 30%, lakini kuanzia miezi 4
mpaka nane ndio iwe asilimia 40%
c) kwa mwezi mmoja ndio ibaki 20%

na hii ni baada ya wao kuonyesha nia ya kutaka kuendelea kubaki ndani ya ofisi yetu.

MWISHO; nipende kutoa shukurani za dhati kabisa kwa kuendelea kutuamini, kazi inafanywa
vizuri kabisa kutokwa kwa maafisa mikopo wote na ushirikiano ni mzuri sana, hivyo tunaendelea
kuhakikisha tunalinda wateja wetu na kuongeza kipato Zaidi na mwezi huu tutahakikisha
tunapanda Zaidi tofauti na mwezi jana

ASANTE.

You might also like