Professional Documents
Culture Documents
Taarifa Ya Mafanikio Ya Shirika La Mzinga
Taarifa Ya Mafanikio Ya Shirika La Mzinga
Taarifa Ya Mafanikio Ya Shirika La Mzinga
SHIRIKA LA MZINGA
UTANGULIZI
Shirika la Mzinga lilianzishwa kwa ushirikiano kati
ya Tanzania na Jamhuri ya Watu wa China
mnamo mwaka 1971 kama mradi chini ya Makao
Makuu ya Jeshi (MMJ).
Kuanzia tarehe 13 Septemba mwaka1974, mradi
ulibadilishwa kuwa Shirika la Umma (Public
Corporation) kwa Tamko la Serikali No.219.
DIRA YA SHIRIKA
DHIMA YA SHIRIKA
Kutafiti, kuendeleza na kutengeneza
silaha, risasi na milipuko ya kijeshi, kiraia
na kutoa ushauri wa kitaalam.
MUUNDO WA SHIRIKA LA
MZINGA
BODI YA WAKURUGENZI
MENEJA MKUU
MZINGA HOLDING CO.LTD
PMU
USALAMA UKAGUZI
UHANDISI
UZALISHAJI
UZALISHAJI
B
SHERIA
UTAFIFITI NA
MAENDELEO
ZIMAMOTO
UTAWALA
MIPANGO
FEDHA
BIASHARA
MAFANIKIO YA SHIRIKA
KIBIASHARA
Katika kipindi cha miaka kumi cha Serikali ya Awamu
ya nne Shirika la Mzinga limeendeleza shughuli zake
za kibiashara katika maeneo ya:
- Baruti na viwashio vya kiraia
- Silaha na risasi za kiraia
- Samani za maofisini na majumbani
- Vifaa vya kihandisi
- Shughuli za ujenzi kupitia Kampuni yake Tanzu ya
Mzinga Holding n.k.
12
13
SHOTGUN
14
RIFLE
15
PISTOL
16
MILIPUKO YA KIRAIA
ELECTRIC DETONATOR
18
22
25
26