Professional Documents
Culture Documents
Fonolojia Notes 114636
Fonolojia Notes 114636
FONOLOJIA
• Fonolojia ni taaluma ya isimu inayochunguza mifumo ya
sauti za kutamkwa zinazotumika katika lugha asilia mahususi
za binadamu.
• Fonolojia ni tawi la isimu linaloshughulikia mfumo wa sauti
za lugha mahususi tu, hivyo, tunapata fonolojia ya Kiswahili,
fonolojia ya Kiingereza, fonolojia ya Kitiriki,fonolojia ya
Kifaransa, fonolojia ya Kimaragoli, n.k.
• Kipacha (2002) Fonolojia ni taaluma ya uchambuzi na
uchanganuzi wa mfumo wa vitamkwa vya lugha
maalumu na jinsi vinavyofanya kazi
• Massamba na wenzake (2004:6) wanaongezea fasili
hiyo kwa kusema kuwa taaluma hii hujihusisha hasa na
‘sharia au kanuni zinazoandamana na utoaji na utumiaji
wa sauti pambanuzi
• Fonolojia ni uchunguzi wa miundo ya lugha. Je, ni kwa
namna gani sauti zimepangika katika lugha.
Aina za fonolojia
• Fonolojia vipande
• Huchunguza sauti za lugha maalum.
• Hushughulikia uanishaji sauti
• Ufafanuzi sauti kwa sifa bainifu
• Mifanyiko ya kimofofonolojia
• Fonolojia arudhi
• Sifa za kiarudhi zinazoathiri sauti-mkazo, kidatu, kiimbo,
wakaa, silabi
Kazi/Umuhimu wa fonolojia