Professional Documents
Culture Documents
NILITAMANI
NILITAMANI
NILITAMANI
3) MATUMAINI
• Tumaini ana matumaini kuwa atayashinda Maisha ya umaskini na ukosefu wa
mahitaji ya kimsingi.
• Tumaini anasema alifika Tanzania kwa kuwa alikuwa na matumaini kuwa
angepata maisha mema.
4) UDANGANYIFU
• Tumaini anamdanganya Jenifa kuwa alikuwa amekula tayari ili ampunguzie
gharama ya chakula.
• Tumaini anadanganya utingo kuwa alikipoteza kipochi chake cha pesa.
• Tumaini anadanganywa na Romeo eti anadai awe mkewe, kumbe ni jinni
anayetaka damu yake!
• 5) KAZI
• Tumaini anatafuta kazi ya aina yoyote mjini. Anaenda kwa ofisi za mabasi ya
Tahmeed na kuomba kazi huko.
• 6) URAFIKI
• Tumaini amejaliwa na marafiki wawili wazuri, Nina na Jenifa, wanaomsaidia
kwa hali na mali.