Professional Documents
Culture Documents
3 HCWs
3 HCWs
3 HCWs
Aina ya chanjo
zilizopendekezwa
nchini Tanzania ni:
– Pfizer, Moderna (mRNA)
– Sinovac, Sinopharm
(Inactivated vaccines)
– Johnson & Johnson
(Adenovirus vector)
MAJADILIANO
MAJADILIANO
3.UHIFADHI, UTUNZAJI, USAFIRISHAJI, NA USIMAMIZI WA TAKA ZITOKANAZO NA CHANJO
YA UVIKO-19
UTUNZAJI…..
Funga kisanduku cha usalama kabla ya kuipeleka sehemu maalumu ya kuhifadhia taka
3. UHIFADHI, UTUNZAJI, USAFIRISHAJI, NA USIMAMIZI WA TAKA ZITOKANAZO NA
CHANJO ZA UVIKO-19
MAJADILIANO
4.UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Matumizi ya “gloves”
Haishauriwi kutumia “gloves” wakati wa kutoa chanjo za
ndani ya misuli isipokuwa kama kuna majeraha
Kama zikitumika hazibadilishi umuhimu wa kunawa mikono
baada ya kila huduma ya uchanjaji
Haishauriwi matumizi ya vitakasa mikono ukiwa umevaa
“gloves
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
2. Matumizi ya Barakoa
Wakati wa kutoa huduma za chanjo barakoa zifuatazo
zinashauriwa
Barakoa ya matibabu (medical mask) - kwa mfanyakazi wa afya
Barakoa ya matibabu au ya kitambaa kwa mteja anayepata huduma
ya chanjo
Uvaaji:
Utoaji:
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Uandaaji wa huduma ya utoaji chanjo
Ifahamishe jamii na vikundi lengwa mahali na muda wa kutoa
chanjo.
Andaa eneo salama la kutoa huduma ya chanjo na uhakikishe
una idadi ya kutosha ya:
Chanjo na vifaa vyake
Vifaa vya kutosha vya mnyororo baridi
Sindano
Barakoa na vifaa vya PPE
Makasha ya takataka (sefety box)
Vifaa vya kuchukulia taarifa
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Uandaaji wa sehemu ya kutolea
Hakikisha maingira ya kutolea chanjo ni safi
Hakikisha kuna hewa ya kutosha eneo la huduma ya chanjo
Fungua madirisha na milango iwapo eneo la huduma ya chanjo ni ndani. Ikiwa
nje,chagua eneo lenye hewa ya kutosha.
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Uandaaji wa sehemu ya kutolea chanjo:
Hakikisha angalau umbali wa mita 1 katika pande zote kati ya mtu na
mtu (Physical distancing)
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Zuia mikusanyiko kwa wanaopata huduma
Chunguza wanaokuja kupata huduma ya chanjo iwapo
wana magonjwa ya njia ya hewa kabla ya kuwapatiwa
huduma ya chanjo
Weka kikomo cha watu unaotarajia kuwachanja ili
kupunguza mikusanyiko na watu kusubiri kwa muda
mrefu kupatiwa chanjo
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Mtiririko wa wateja na mpangilio wa ukaaji wakati wa
uchanjaji
Hakikisha kuna njia moja ya wateja kuingia (one-way flow) kwenye eneo la
uchanjaji
Hakikisha unakaa kwa upande na sio ana kwa ana wakati wa utoaji wa huduma za
chanjo
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Mtiririko wa Utoaji wa Huduma za Chanjo
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
Utoaji wa chanjo za ndani ya misuli (Intramuscular
injection)
Safisha mikono kabla na baada ya huduma ya chanjo kwa maji tiririka na sabuni.
Shikilia sindano ya AD na vidole, na kidole gumba upande wa bomba wakati
sindano ikiangalia juu
Nyosha taratibu ngozi kwa mkono mwingine na sukuma sindano haraka kwa
pembe ya 90 ° chini kupitia ngozi kwenye misuli
Sukuma plunger vizuri, usisogeze sindano chini ya ngozi
Vuta sindano haraka na vizuri kwa pembe sawa na ilivyoingia
Tupa sindano ndani ya safety box
UTOAJI WA HUDUMA YA CHANJO
MAJADILIANO
MAJADILIANO
5.UFUATILIAJI WA MAUDHI YATOKANAYO NA
CHANJO YA UVIKO-19 (AEFI)
Maudhi yatokanayo na chanjo ni tukio la mabadiliko
kufuatia huduma za chanjo (AEFI) ambayo:
Hufuata baada ya huduma ya chanjo
Sio lazima kuwa na uhusiano wa sababu na matumizi ya chanjo
Inaweza kuwa dalili mbaya ambayo mpokeaji wa chanjo analalamika
Inaweza kuwa mabadiliko yasiyokuwa ya kawaida ya maabara, ishara
au ugonjwa uliogundulika na watumishi wa afya kutoka kwa mteja wa
aliyepata chanjo
UFUATILIAJI WA MAUDHI YATOKANAYO NA
CHANJO YA UVIKO-19 (AEFI)
Sababu/aina za maudhi yatokanayo na chanjo
Husababishwa na chanjo kwa sababu moja au zaidi kutokana na bidhaa iliyo ndani ya chanjo
Husababishwa na chanjo kwa sababu ya kasoro moja au zaidi ya ubora wa chanjo husika au kifaa chake cha
uchanjaji kama inavyotolewa na mtengenezaji
5. Tukio la kubahatisha:
Tukio linalotokea baada ya chanjo lakini halisababishwi na chanjo au mchakato mzima wa uchanjaji
MAUDHI MALIMBALI YATOKANAYO NA
CHANJO ZA UVIKO-19 (AEFI)
Kama chanjo yoyote ilivyo, chanjo za UVIKO-19 zinaweza kusababisha athari chache, za muda mfupi, kama
vile homa ya kiwango cha chini, maumivu au ngozi kuwa nyekundu eneo ulipochomwa sindano.
TMDA inaendelea kufuatilia usalama wa chanjo hizi ili kuangalia madhara yanayoweza kujitokeza baada ya
matumizi ya muda mrefu kwa lengo la kulinda afya ya jamii
UFUATILIAJI WA MAUDHI YATOKANAYO NA
CHANJO YA UVIKO-19 (AEFI)
Fomu ya kuripoti maudhi yatokanayo na chanjo
UFUATILIAJI WA MAUDHI YATOKANAYO NA
CHANJO YA UVIKO-19 (AEFI)
Aina za maudhi ya kutolea taarifa
Toa taarifa/ripoti ya maudhi yote ambayo yameletwa kwako.
Jaza fomu za kuripoti na uzitume kwa msimamizi wako.
Jaza taarifa zote zinazopatikana na kwa usahihi iwezekanavyo.
Toa taarifa/ripoti ya maudhi ambayo sio mabaya kulingana sera ya
nchi ya kutoa taarifa
Ikiwa kuna maudhi makubwa, mjulishe msimamizi wako na/au mtu
anayehusika na kushughulikia maudhi mara moja (kwa simu) na
ujaze fomu ya kuripoti ndani ya masaa 24
UFUATILIAJI WA MAUDHI YATOKANAYO NA
CHANJO YA UVIKO-19 (AEFI)
MAJADILIANO
MAJADILIANO
6. TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Uhifadhi na ufuatiliaji wa takwimu husaidia
yafuatayo:
Hutoa uthibitisho wa kupata huduma ya chanjo
Hutumika kufuatilia maendeleo na utumiaji wa chanjo
Hutoa habari za usimamizi wa chanjo na usambazaji
Inaarifu ufanisi na usalama wa chanjo kupitia ufuatiliaji
wa maudhi yatokanayo na chanjo (AEFI)
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Kadi ya chanjo itakuwa na taarifa zifuatazo:
Maelezo binafsi na mawasiliano ya mpokeaji wa chanjo
Chanjo aliyopata mhusika na dozi ikiambatana na:
Tarehe ya chanjo
Aina ya chanjo
Dozi aliyopata
Namba ya kundi la chanjo husika (batch/lot number)
Jina la kituo
Muhuri / saini
Tarehe ya dozi inayofuata (ikiwa inafaa)
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Rekodi za kituo cha huduma zitakuwa na taarifa
zifuatazo:
Taarifa za kadi ya chanjo pamoja na:
Mawasiliano ya mtu aliyepewa chanjo
Taarifa hatarishi za mtu aliyepewa chanjo (risk factors)
Maudhi kufuatia chanjo (AEFI)
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Tally sheet
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Kadi/Cheti cha Chanjo
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Rejesta ya Kituo
TAKWIMU NA UFUATILIAJI WA
CHANJO YA UVIKO-19
Repoti ya Mwezi
MAJADILIANO
MAJADILIANO
7.UHAMASISHAJI NA UELIMISHAJI
JAMII KUHUSU CHANJO YA UVIKO-19
Lengo ni kuhakikisha kuwa jamii inahamasika na kuelewa
umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19 ili kupata ushirikiano.
Katika kutekeleza hili, ni muhimu kufanya yafuatayo:
Kuandaa na kuendesha mikutano ya uhamasishaji wa
chanjo ya UVIKO-19
Kuelimisha jamii juu ya athari za UVIKO-19
Kuandaa mipango ya uhamasishaji na uelimishaji katika
vijiji/vituo vya afya na kusimamia utekelezaji
UHAMASISHAJI NA UELIMISHAJI
JAMII KUHUSU CHANJO YA UVIKO-19
Kutembelea nyumba kwa nyumba ili kuelimisha jamii
kuhusu umuhimu wa chanjo ya UVIKO-19
Kuwajulisha wahusika kuhusu tarehe za utoaji huduma za
chanjo katika kituo cha huduma
Kutoa msaada au usimamizi wakati wa utoaji wa chanjo
Ufuatiliaji wa uhamasishaji na uelimishaji wa jamii kuhusu
uelewa juu ya UVIKO-19
Kutambua taarifa za uzushi/za kupotosha kuhusu chanjo
ya UVIKO-19 na kuzisahihisha au kuwasilisha ngazi ya juu
UHAMASISHAJI NA UELIMISHAJI
JAMII KUHUSU CHANJO YA UVIKO-19
Vituo vya kutolea huduma ya chanjo ya UVIKO-19
viratibu na kupanga namna ya kuhamasisha na
kuwashirikisha watendaji wa kata/ vijiji (WEO/VEO),
viongozi wa dini na watu mashuhuri wa maeneo husika ili
kusaidia kuhamasisha jamii
Pia inashauriwa kutumia njia za uhamasishaji
zinazotumika katika jamii husika mfano vituo vya redio
vilivyopo maeneo husika, megaphone, ngoma na filimbi
kuhamasisha jamii
UHAMASISHAJI NA UELIMISHAJI
JAMII KUHUSU CHANJO YA UVIKO-19
FOMU YA UHIARI WA KUPATA CHANJO DHIDI YA
UVIKO-19
FOMU YA UHIARI WA KUPATA CHANJO DHIDI YA
UVIKO-19
MAJADILIANO
MAJADILIANO
Asante Sana