Professional Documents
Culture Documents
SLIDES FINAL PIRA & CIRA..
SLIDES FINAL PIRA & CIRA..
LA TANZANIA
TAARIFA KUHUSU UFAULU WA WANAFUNZI KATIKA
UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) NA
MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE)
MAMBO YATAKAYOWASILISHWA
• UTANGULIZI
• GREDI NA MADARAJA YA UFAULU
• USAJILI NA MAHUDHURIO YA WANAFUNZI NA WATAHINIWA
• UFAULU WA JUMLA KATIKA UPIMAJI WA DARASA LA NNE (SFNA) NA
MTIHANI WA KUMALIZA ELIMU YA MSINGI (PSLE)
• CHANGAMOTO ZILIZOATHIRI KIWANGO CHA UFAULU WA
WANAFUNZI NA WATAHINIWA
• MAONI YA BARAZA
• MAPENDEKEZO
UTANGULIZI
2019 1,665,863 1,531,120 91.91 1,154,748 69.32 376,372 22.59 134,743 8.09
2020 1,704,286 1,551,599 91.04 1,146,786 67.29 404,813 23.75 152,687 8.96
2021 1,561,516 1,347,554 86.30 973,574 62.35 373,980 23.95 213,962 13.70
2022 1,592,235 1,320,700 82.95 818,903 51.43 501,797 31.52 271,535 17.05
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea
• Ufaulu wa wanafunzi katika SFNA umekuwa ukishuka mwaka
hadi mwaka kutoka asilimia 91.91 mwaka 2019 hadi asilimia
82.95 mwaka 2022.
Chati Na. 1: Ufaulu wa wanafunzi katika masomo ya lugha mwaka 2019 - 2022
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea
• Katika somo la Kiswahili, mwaka 2019 hadi 2022 ufaulu
ulikuwa mzuri. Aidha, mwaka 2020 ufaulu ulikuwa mzuri zaidi
ambapo asilimia 90.09 ya watahiniwa walifaulu.
• Katika somo la English Language, ufaulu wa wanafunzi
ulikuwa ukishuka kuanzia mwaka 2019 mpaka 2022 mfululizo
kutoka asilimia 81.09 hadi asilimia 71.72.
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea
II. Masomo ya Sayansi Jamii (Maarifa ya Jamii na Uraia na
Maadili)
Chati Na. 2: Ufaulu wa wanafunzi katika masomo ya Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi; na
Uraia na Maadili mwaka 2019 – 2022
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea
• Ufaulu wa wanafunzi kwa somo la Maarifa ya Jamii na Stadi
za Kazi mwaka 2019 ulikuwa mzuri kwa asilimia 95.26.
• Mwaka 2019 hadi 2020 ufaulu kwa somo la Maarifa ya Jamii
na Stadi za Kazi ulipanda kwa asilimia 0.2.
• Mwaka 2020 hadi 2021 na mwaka 2021 hadi 2022 ufaulu
ulishuka kwa asilimia 4.26 na 6.35 mtawalia.
• Ufaulu kwa somo la Uraia na Maadili ulikuwa mzuri kwa
mwaka 2019 na 2020.
• Mwaka 2019 kwenda 2020 ufaulu uliongezeka kwa asilimia 1.5
na kupungua kutoka mwaka 2021hadi 2022.
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea
III. Masomo ya Sayansi na Hisabati
2019 932,189 759,737 81.50 446,200 47.87 149,259 16.01 23,193 2.49
2020 1,008,307 833,672 82.68 465,307 46.15 151,559 15.03 23,076 2.29
2021 1,107,460 907,802 81.97 606,419 54.76 194,851 17.59 4,807 0.43
2022 1,348,073 1,073,402 79.62 720,267 53.43 265,892 19.72 8,779 0.65
UFAULU WA JUMLA KATIKA SFNA NA
PSLE….Inaendelea