Professional Documents
Culture Documents
Mambo Kuhusu Maisha Ya Chuo
Mambo Kuhusu Maisha Ya Chuo
FASIHI YA KISWAHILI
KF 102
• Kuwaunganisha watu
• Umoja na Ushirikiano vilisisitizwa
• Lugha ilikuwa si changamani
• Fasihi – hasa simulizi ikihusisha maudhui
yasiyo changamani.
– Wema dhidi ya Ubaya
– Wahusika wanaowakilisha watu halisi
– Wahusika na uhusika wao katika jamii: miti,
wanyama ndege nk
Kipindi cha Utumwa
• Mabwana dhidi ya watumwa
• Kupumbaza watumwa na wao kuonekana
kuwa hiyo ni majaaliwa yao
• Watumwa kudai ukombozi
• Udhibiti wa kazi za kifasihi
• Matokeo ya udhibiti:
– Lugha ya mafumbo
– Wahusika changamani
Kipindi cha Umwinyi na Ukabaila
• Mamwinyi dhidi ya watwana
• Kupumbaza watwana na wao kuonekana kuwa
hiyo ni majaaliwa yao
• Kustarehesha mamwinyi na makabaila
• Udhibiti wa kazi za kifasihi
• Harakati za ukombozi
– Wahusika changamani
Kipindi cha Ubepari
• Ubepari ni nini
• Matabaka
• Migogoro ya wafanyakazi dhidi ya Mabepari
• Migogoro viwandani na mashambani
• Migomo
• Ukombozi
• Tafuteni kazi za Kiswahili zinazoeleza maudhui
hayo
• Ni nini wajibu wa mwandishi wa kazi kama hizo
• Ni nini wajibu wako kama mhakiki
Kipindi cha Ujamaa
• Ujamaa ni Nini
• Ujenzi wa Taifa Jipya
• Ujenzi wa Vijiji vya Ujamaa
• Ujenzi wa Sera Mpya
• Usawa na Ushirikiano
• Vita dhidi ya Makabaila na Mamwinyi
• Tafuteni kazi za Kiswahili zinazoeleza maudhui
hayo
• Ni nini wajibu wa mwandishi wa kazi kama hizo
• Ni nini wajibu wako kama mhakiki
Kipindi cha Mfumo wa Uliberali
• Maana
• Ni mambo gani mapya yanayojitokeza katika
kipindi hiki
• Soko huria ni nini na maudhui yake ni yepi?
• Utandawazi au Utandawizi
• Unajitokezaje katika fasihi
• Uhuru wa uandishi na athari za uhuru huo
• Tafuteni kazi za Kiswahili zinazoeleza maudhui
hayo
• Ni nini wajibu wa mwandishi wa kazi kama hizo
• Ni nini wajibu wako kama mhakiki
Tanzu za Fasihi
• 3:1. Fasihi simulizi
• 3:2. Fasihi andishi
• 3:3. Kufanana na kutofautiana
kwa fasihi simulizi na andishi
• 3:4. Fani na Maudhui katika
fasihi simulizi na andishi
3.1 Fasihi Simulizi
• Ni Sanaa ya lugha inayotungwa na kubuniwa
kichwani na kuwasilishwa kwa hadhira kwa
njia ya mdomo na vitendo bila kutumia
maandishi (Mulokozi, 2017:38).
• Ni tukio linalofungamana na muktadha Fulani
wa kijamii.
• Mulokozi anatofautisha kati ya fasihi ganizi na
fasihi simulizi.
• Hakikisha unajua tofauti za dhana hizo kwa
usahihi
Changamoto katika
Maana ya Fasihi Simulizi
• MAUDHUI: Tumezungumzia
• Dhamira mbalimbali.
• Ujumbe
• Migogoro
• Msimamo (anasimamia upande upi)
• Mtazamo (zuri/baya), dhanifu/yakinifu/dini
• Falsafa (Nini, kwanini na Kwa vipi)
Fani katika Fasihi Andishi
• Muundo (mpangilio/mfuatano)
• Mtindo (tofauti za uandishi)
• Wahusika
• Mandhari
• Lugha (Tamathali, Methali, Taswira nk)
• Jina la Kitabu (Anwani)
Ujielezaji kwa namna mbalimbali